Fungua
Tanzania Women of Action(Tawa)

Tanzania Women of Action(Tawa)

Dar es salaam, Tanzania

Tawa inaendelea na mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi kwa wasichana wanaofanya biashara ya ngono kwa kuawelimisha matumizi sahihi ya kondom ya kike (Lady pepeta) na kuzisambaza ili walengwa wasipate maambukizi mapya ya ukimwi.Tumeamua kutoa elimu  hii katika mkoa wa Dar es salaam na wilaya zake ili kunusuru kundi hili ambalo linazidi kuongezeka siku hadi siku.Kampeni hii imeanza Mkoa huu na baadae itaendelea Tanzania nzima katika mikoa inayoonekana ni tishio kwa maambukizi ya ukmwi kama vile Iringa,Mbeya, Arusha  ,Mwanza na mikoa mingine

19 Julai, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Tanzania Women of Action(Tawa) (Hananasifu Kinondoni) alisema:
Jikinge na maambukizi ya ukimwi tumia lady pepeta
19 Julai, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.