Envaya
wapedwa wote wanaharakati napenda kuwasalimu kokote mlipo na kuwaaarifu uwepo wetu kwenye mtandao sasa. Habari zetu mtazipata kwa mapana zaidi wakati tutakapoweka taarifa zetu zote, tukianzia na usajili wa shirika letu. Tunaomba mtutembelee mkipata nafasi na tunawakaribisha sana morogoro tanzania.
2 Juni, 2010
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.