Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Wanakikundi wa malihai waliohitimu shahada katika chuo cha STEMMUCO (Stella Maris Mtwara University College) walikabidhiwa vyeti vya Malihai kama uthibitisho wa ushiriki wao na utambuzi wa mchango wao katika shughuli mbalimbali za kimazingira mkoani Mtwara.

December 8, 2012
Next »

Comments (3)

motto sayi (STEMMUCO-mtwara) said:

Wanamalihai STEMMUCO,Tunaomba wanachama wapya wa malihai mwaka wa 1,2,3 na masters waweze kujiunga na malihai ili tuweze kujumuika pamoja ktk mazngira

November 5, 2013 (edited November 5, 2013)
motto (STEMMUCO,MTWARA) said:
MAZINGIRA ni uhai wetu sisi na vizazi vijavyo,yapasa tuwe na moyo wa kujitoa kuyahudumia
November 15, 2013
Tunapoadhimisha leo na kuwashangilia wanamalihai wahitimu wa mwaka 2013 Digrii.Uongozi wa malihai STEMMUCO. unawatakia mahafali mema tukikumbuka kupanda miti as we know it today
December 5, 2013

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.