Kusaidia jamii ya Mkoa wa Mtwara katika Mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI, Kuleta mabadiliko ya tabia katika jamii katika kupunguza/kutokomeza ugonjwa wa malaria, kutunza na kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu na wajane; na kutoa elimu kwa jamii.
Mabadiliko Mapya
SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UKIMWI MKOA WA MTWARA imejiunga na Envaya.
17 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
MASASI, Mtwara, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu