Kwenye mradi uliotekelezwa na SAWATA MARA chini ya ufadhili wa "HelpAge International" jamii ilishirikishwa kuwajengea nyumba wazee wasiokuwa na uwezo. Hapa mzee mmoja anajengewa nyumba katika Kata ya Suguti, kijiji cha Kusenyi.
12 Juni, 2012
Kwenye mradi uliotekelezwa na SAWATA MARA chini ya ufadhili wa "HelpAge International" jamii ilishirikishwa kuwajengea nyumba wazee wasiokuwa na uwezo. Hapa mzee mmoja anajengewa nyumba katika Kata ya Suguti, kijiji cha Kusenyi.