Kuona jamii ya watanzania inaendelea kustaraabika kwa kujua na kudai haki zao,kutimiza wajibu wao,Kuheshimu haki za binadamu, Kulinda,Kuhifadhi na Kutunza Mazingira.
Latest Updates

Sakale Development Foundation added 18 News updates.
This Picture were taken at Kwafungo Village, which shows how Children's engaged in Illegal Orange harvesting.
WEKEZA PROJECT
February 2, 2017
Sakale Development Foundation updated its Projects page.
Core business areas of SADEF – SADEF has the following main areas of operation. – (i) Good Governance – This is the major... Read more
January 30, 2017
Sakale Development Foundation created a Projects page.
Core business areas of SADEF – SADEF has the following main areas of operation. – (i) Good Governance – This is the major... Read more
May 9, 2015
Sakale Development Foundation has a new discussion about KWANINI VIONGOZI WETU WANASHINDWA KUWEZESHA MABADILIKO CHANYA KATIKA NCHI YETU?..
Sakale Development Foundation: Nchi/Watu lazima iwe na viongozi, huo ni mpango wa mungu.Hakuna ubishi katika hilo, lakini je yeyote aweza kuwa kiongozi? bila shaka jibu ni hapana, hapa ina maana kwamba kuongoza ni kipaji kama ilivyo kwa vipaji vingine ambavyo mwanadamu hujaliwa na mwenyezi mungu.Katika Tanzania siku hizi... Read more
November 24, 2012
Sakale Development Foundation added concern for development initiatives in africa to its list of Partner Organizations.
forDIA ni shirika ambalo tumeshirikiana nalo mara nyingi katika kutekeleza shughuli mbalimbali tangu mwaka 2008. shughuli hizo ni pamoja na miradi ifuatayo:- – 1. Utafifi juu ya mtazamo rushwa katika jamii ya Watanzania awamu ya pili – 2.Utafiti juu ya mtazamo rushwa awamu ya tatu ... Read more
November 16, 2012
Sakale Development Foundation added Friends of tanzania [FOT] to its list of Partner Organizations.
Friends of Tanzania ni Shirika la hiari kutoka Marekani, limekuwa likitupatia ufadhili tangu mwaka 2008
November 12, 2012
Sectors
Location
Muheza, Tanga, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations