Shamba la ekari mia nne (400) linauzwa kila ekari TSH: (70,000) Elfu sabini tu na unaweza ukanunua ekari chache, lipo Njombe linafaa kwa kilimo cha matunda ya maparachichi, embe, nanasi, miti ya mbao ya aina zote, kilimo cha mahindi, viazi, nyanya, ufugaji wa kuku, ng'ombe NK.

Lipo karibu na barabara kwa mawasiliano piga 0754397178, 0652556833
Pia tunauza mbao, mahindi, na miti ya nguzo za umeme na kwa kwa uhitaji wa shamba/ kiwanja eneo lolote tutafute.

Pia tunauza miche ya matunda mbali mbali, miche ya miti ya mbao mbali mbali na tunatoa ushauri wa uendeshaji wa mirad ya ufugaji kuku, samaki, nyuki, na kilimo cha miti na mboga mboga.

tembelea PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR): MITI YA MBAO KUKU NYUK