Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Ndg. Hassan Luheko Mnaute akifafanua jambo la mwezeshaji Mdg. Feruz kutoka idara ya ardhi, wilaya ya Tandahimba katika mkutano wa kupitisha mpango wa matumizi bora ya ardhi, wakati wa utekelezaji wa mradi wa kuwajengea uwezo wananchi, wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya vijiji na kata, kuhusu Sheria Na. 5 ya Ardhi ya vijiji ya mwaka 1999, na kanuni za Ardhi za mwaka 2002, katika ukumbi wa Parish holl uliopo Luagala, Wilaya ya Tandahimba mkoa wa Mtwara - Tanzania.

12 Kanama, 2018
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (2)

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT (Kijiji cha Chaume, Kata ya Chaume, wilaya Tandahimba, Mtwara - Tanzania. P.o. Box 62 Tandahimba. Email: olaitandahimba8@gmail.com Mobile: 0788 715 532 / 065 426 456 ) bavuzeko
Hassan Luheko Mnaute
12 Kanama, 2018 (edited 11 Nyakanga, 2021)
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT (Kijiji cha Chaume, kata ya Chaume, wilaya ya Tandahimba, mkoa wa Mtwara - Tanzania.) bavuzeko
Mawasiliano ya simu ya mkononi: 0788715532 Airtel / 0712192860 Tigo / 0776802532 Zantel
11 Nyakanga, 2021

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.