Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

1.Kusaidia taasisi wanachma kupata na kufikishiwa sera na taarifa kutoka taasisi zisizo za kiserikali(NGOs) za Kitaifa na Kimataifa.

2.Kuwezesha ubadilishanaji wa habari,taarifa,ujuzi,uzoefu na masuala yanayozihusu taasisi hizo.

3.Kuwa kiungo kati ya taasisi Wanachama na viongozi wa Wilaya ,Mkoa,Taifa na Kimataifa.

4.Kuziimarisha na kuzijengea uwezo Asasi Wanachama kwa maendeleo ya wananchi wa Nanyumbu.

NI MWAMVULI WA ASASI ZISIZO ZA KISERIKALI WILAYA YA NANYUMBU.

Amakuru agezweho
NANYUMBU NON-GOVERNMENTAL ORGANISATIONS NETWORK yashyize Lilikokona Environmental and Farming Enterprises ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
LEFE ni mwanachama wa NANGONET katika kuhifadhi mazingira na kusaidia wakulima wadogwadogo.
17 Gicurasi, 2011
NANYUMBU NON-GOVERNMENTAL ORGANISATIONS NETWORK yashyize UHIFADHI WA MAZINGIRA KAZAMOYO ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
UMIKA ni mwanachama wa NANGONET katika kuhifadhi mazingira.
17 Gicurasi, 2011
NANYUMBU NON-GOVERNMENTAL ORGANISATIONS NETWORK yashyize WALIO KATIKA MAPAMBANO NA AIDS TANZANIA-NANYUMBU MTWARA TANZANIA ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
WAMATA ni mwanachama wa NANGONET. Tunashirikiana katika shughuli za jamii.
17 Gicurasi, 2011
NANYUMBU NON-GOVERNMENTAL ORGANISATIONS NETWORK yasanze Envaya.
17 Gicurasi, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
MANGAKA NANYUMBU, Mtwara, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye