Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

kwa nini vijana wengi wa tanzania wana walauum wazazi wa kiumee?

andrew exavery (kahama shinyanga tanzania)
February 13, 2014 at 8:38 PM EAT

je umewahi kujiuliza ni sababu zipi zinawafanya wazazi wengi wa kiume walaume na watoto wao?

Enyorata Education, Youth participation & Tourism Trust (EEYUPAT)
April 25, 2014 at 7:01 AM EAT

mi nafikiri hawajapata ushirikiano mzuri na wazazi wao kwahiyo watoto hao hawajaona msaada wa kutosha kutoka kwa wazazi hao wa kiume

NELSON YOHANA (TUNDURU)
October 17, 2014 at 12:45 PM EAT

Nini kifanyike kuhakikisha watoto na vijana wanapata malezi bora katika familia?


Add New Message

Invite people to participate