Injira
Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Ilagala, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

HIVI NI HALALI KUWAFUKUZA WABUNGE NJE YA BUNGE?

Edward (Ilagala)
28 Nyakanga, 2011 at 22:52 EAT

Hivi karibuni kumetokea suala ambalo halikuwa limezoeleka katika masikio yetu watanzania ya kutoana nje ya Bunge kwa nguvu licha ya hata kusikia nini mtu huyo alitaka kusema hivi nduguzanguni ninyi mnaojua mambo zaidi ni sawa?

Ahmed Kipozi (Dar-es-salaam, )
28 Nyakanga, 2011 at 23:27 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Ninavyo fahamu mimi ni kwamba kama Mbunge au wabunge wanavunja kanuni za bunge (kwa mfano kumkatisha mbunge anae zungumza bila ruhusa ya Muheshimiwa Spika au mwenye kiti) basi mwenyekiti anayo mamlaka ya kumfukuza nje ya bunge hata nje ya eneo la bunge, ikiwa ametumia lugha ya shari na kadhalika..


Andika ubutumwa (Hisha)

Birashakisha...
Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.