Injira
JINSIA NA MAENDELEO

JINSIA NA MAENDELEO

TABORA, Tanzania

KUBUNI MBINU MBADALA ZA KUPAMBANA NA UMASKINI,ILI KUINUA HALI ZA MAISHA YA WATU WA KAWAIDA KWA KUZINGATIA MGAWANYO WA MAJUKUMU KIJINSIA.

JINSIA NA MAENDELEO(JINAMA)

Ni shirika lisilo la kiserikali lililopo mkoani Tabora.Shirika hili lilianzishwa mwaka 2004 na lilipata usajili wa kudumu mwaka 2006, namba ya usajili 00NGO/1707 chini ya ya sheria ya NGO ya mwaka 2002.Kwa sasa shirika linamatawi katika wilaya ya Urambo mkoani Tabora.Pia JINAMA inashugulika na mambo yanayohusu maendeleo ya jamii,hasa katika nyanja ya mazingira,afya,elimu na ustawi wa jamii.Ofisi zetu zipoTabora mjini jengo la idara ya maji zamani,eneo la bachu.

 

Amakuru agezweho
JINSIA NA MAENDELEO yashyizeho Amakuru agezweho.
14 Nyakanga, 2013
JINSIA NA MAENDELEO yakoze Ahabanza paje.
KUBUNI MBINU MBADALA ZA KUPAMBANA NA UMASKINI,ILI KUINUA HALI ZA MAISHA YA WATU WA KAWAIDA KWA KUZINGATIA MGAWANYO WA MAJUKUMU KIJINSIA. – JINSIA NA MAENDELEO(JINAMA) – Ni shirika lisilo la kiserikali lililopo mkoani Tabora.Shirika... Soma ibindi
14 Nyakanga, 2013
JINSIA NA MAENDELEO hari ibyo yahinduye kuri Ikipe paje.
JINSIA NA MAENDELEO (JINAMA)LINAUONGOZI KAMILI.WAFUATAO NI VIONGOZI: – VERDIANA P.MIZENGO-KATIBU MTENDAJI. DANIEL NDOTT-MRATIBU. SELEMANI SHABANI-MHASIBU. ALPHONCE CHARLES-MWANASHERIA. ZENA MAGESA -MJUMBE.
11 Nyakanga, 2013
JINSIA NA MAENDELEO hari ibyo yahinduye kuri Imishinga paje.
Jinsia na Maendeleo nishirika lisilio la kiserikali,linashughulika na mabo yafuatayo: – AFYA. Mazingira. Ustawi wa jamii na Wanawake. Elimu. ... Soma ibindi
10 Nyakanga, 2013
JINSIA NA MAENDELEO hari ibyo yahinduye kuri Amateka paje.
JINSIA NA MAENDELEO(JINAMA) – Ni shirika lisilo la kiserikali lililopo mkoani Tabora.Shirika hili lilianzishwa mwaka 2004 na lilipata usajili wa kudumu mwaka 2006, namba ya usajili 00NGO/1707 chini ya ya sheria ya NGO ya mwaka 2002.Kwa sasa shirika linamatawi katika wilaya ya Urambo mkoani Tabora.Pia JINAMA... Soma ibindi
10 Nyakanga, 2013
JINSIA NA MAENDELEO yakoze Amateka paje.
JINSIA NA MAENDELEO(JINAMA) – Ni shirika lisilo la kiserikali lililopo mkoani Tabora.Shirika hili lilianzishwa mwaka 2004 na lilipata usajili wa kudumu mwaka 2006, namba ya usajili 00NGO/1707 chini ya ya sheria ya NGO ya mwaka 2002.Kwa sasa shirika linamatawi katika wilaya ya Urambo mkoani Tabora.Pia JINAMA... Soma ibindi
8 Nyakanga, 2013
Ibyiciro
Aho uherereye
TABORA, Tabora, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye