Bw.Daniel Ndott,akifundisha kufundisha wananchi wa kata ya itonjanda waliojitikeza katika mkutano wa hadhala,kuhusu watoto walio katika mazingira hatarishi.
Baadhi ya wtoto wanaojilea baada ya wazazi kuwatelekeza,katika kata ya ndevelwa manispaa ya Tabora.
Afisa mmojawapo wa JINAMA,katika mikutano na wananchi,kuhusu watoto walio katika mazingira hatarishi.
Bi Verdiana Mizengo,akitoa ufafanuzi katika moja ya majukumu ya jinama vijijini.
Wananchi waliokusanyika katika mikutano wakati wa utekelezaji mradi wa watoto waishio katika mazingira hatarishi.
Mmoja wa maafisa wa wa shirika la jinama katika mikutano ya hadhala na wananchi akielezea jambo.