Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Una habari juu ya mashindano ya ngao ya Hisani yanayoendeshwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kila mwezi wa sita?Je,ni haki yaitwe ngao wakati hakuna senti hata moja inayoingia katika kuchangia jamii kama watoto yatima,wajane na wengineo wanaohitaji hisani?
Julius Muungano (PELO-Dar es Salaam)
May 9, 2011 at 8:11 PM EAT
Sango Kipozi Mwenyekiti Mtendaji JEAN media (Dar es salaam. )
May 13, 2011 at 10:48 PM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)