Kutoa elimu juu ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi na kuwajengea uwezo wahudumu wa Wagojwa majumbani(HBC) na kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Mabadiliko Mapya

Health and Development for People living With Hiv/Aids(HEDEA) imeongeza Habari 2.
ASASI YA HEDEA,INAMTAKIA BONDIA PASCAL NDOMBA WA KYELA USHINDI KATIKA PAMBANO LAKE USIKU HUU HUKO GHANA V/S BRAIMAH KAMOKO MUNGU AKUTANGULIE UJE NA USHINDI Soma zaidi
1 Desemba, 2012
Health and Development for People living With Hiv/Aids(HEDEA) imehariri ukurasa wa Timu.
Julius Mwalubalile-Mwenyekiti – Godfrey Gwatengile-Mhasibu – Sekiete Saddy-Mratibu – Judith Kilema-Mhazina – Mr.Uswege Mwaikambo-Katibu – ...
6 Desemba, 2011

Health and Development for People living With Hiv/Aids(HEDEA) imeongeza Habari 2.
Mkurugenzi wa Hedea,akimweleza jambo Mgeni –
3 Desemba, 2011
Health and Development for People living With Hiv/Aids(HEDEA) imeumba ukurasa wa Historia.
UTANGULIZI: – HEALTH AND DEVELOPMENT FOR PEOPLE LIVING WITH HIV/AIDS(HEDEA) . NI ASASI YA KIRAIA (NGO) ILIYO SAJILIWA MWAKA 2007. KWA JINA TAJWA HAPO JUU MAKAO YAKE MAKUU NI MJINI KYELA- MBEYA. – LENGO LA ASASI: – (HEDEA) NI ASASI... Soma zaidi
28 Novemba, 2011

Health and Development for People living With Hiv/Aids(HEDEA) imeongeza Habari.
Picha hapo juu,kushoto ni Julius Mwalubalile(Mwenyekiti) na kulia ni Judith Kilema (Mhazina) wakiwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya wakimfariji Mtoto anae lelewa na asasi ya HEDEA baada ya kulazwa Hospitalini hapo. Soma zaidi
28 Novemba, 2011
Sekta
Sehemu
Kyela, Mbeya, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu