Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Uongozi wa Dhulu Sports Club Unawakumbusha wale wote waliopatiwa barua za uwanachama wajitahidi kufanikisha uwanachama wao kwani siku za kulipia zinakaribia....
Hivyo kutokana na wadau kuwa na shughuli nyingi za kiofisi,kishule na majukumu mengine ya kimaisha kuwabana hadi kushindwa kufika ofisini kwetu kwa sasa, Mchango wako unaweza utuma kwa njia ya M-PESA /TIGO-PESA kwenye namba za ofisi ambazo ni 0767260480 na 0658160480 nasi tutaipokea...
Wadau tujitahidi kutimiza mchango huo ili hatua ya kutengeneza vitambulisho vya Uwanachama ifanyike haraka iwezekanavyo. Uongozi umeongeza siku za kupokea mchango hadi tarehe 28/02/2013 itakuwa mwisho wa kupokea michango.
PAMOJA TUNAWEZA
Ahsanteni...
February 13, 2013
Comments (3)
viongozi nimewapata na mmenirahisishia kazi.Tatuma kwa m-pesa kesho asubuhi.
Kazi njema viongozi.