Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

January 14, 2011
« Previous

Comments (3)

Baadhi ya Wajumbe wa kamati za Maendeleo za Kata Manispaa ya Kinondoni pamoja na wananchi wakiwa katika picha ya pamoja baada kufanya mdahalo uliojadili namna ya kuboresha elimu ya Msingi na Sekondari Mkoani Dar es salaam Machi 2010.
January 16, 2011
Dhahabu hongereni sana kwa kazi nzuri mnayoifanya. Kwakweli mna kila sababu ya kupongezwa na kuungwa mkono.
February 27, 2011
Elizabeth Mwazuma (Dar es salaam) said:
Naiona kazi ya mikono yenu DAG! Hakika inafurahisa sana.
July 25, 2013

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.