DAKEDEO NA USHIRIKIANO NA ASASI YA UNA.
DAKEDEO.Imeanza kushirikiana na mashirika mengine yenye lengo la kulete mabadiliko chanya kwa jamii.
Katika kufanya hivyo DAKEDEO imeanzisha ushirikiano na ASASI ya UIGIZAJINA NGOMA ZA ASILI (UNA), KAMPUNI YA UCHUKUAJI WA KUMBUKUMBU YA SIGNAL ONE LTD ya Dar es salaam'
Lengo la ushirikiano huo ni kuona kuwa asasi hizi zinafanya kazi pamoja katika njia ya kubadilishana uzoefu,
HIVI KARIBUNI MASHIRIKA HAYA YANATEGEMEA KUFANYA MRADI WA PAMOJA WA KUCHUKUA KUMBUKUMBU YA KAZI MAALUM YENYE MTAZAMO WA KIMAFUNZO JUU YA ELIMU YA UZAZI KAMA HAKI YA VIJANA.
24 Nyakanga, 2013
Ibitekerezo (1)
KWANI IELEWEKE KUWA UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU.