Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

aina za ulemavu utokanao na mtindio wa ubongo, sababu za mtindio wa ubongo.

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania (msasani)
April 28, 2013 at 9:45 AM EAT

 

sababu zimegawanyika ktk maeneo matatu

1.kabla ya ujauzito 

2.Wakati wa ujauzito

3.Baada ya kuzaliwa

1.Kabla ya ujauzito,ambapo mama kuwa na matumizi yasiyo sahihi ktk dawa za magonjwa ya binadamu,unywaji uliokithili wa pombe,madawa ya kulevya,uvutaji wa sigara uliokithiri,magonjwa ya zinaa,magonjwa ya kurithi,homa ya manjano,
2. wakati wa ujauzito ambapo pamoja na sababu za mwanzo pia nyingine ni kuchelewa kujiunga clinic ili kufuatilia ujauzito  na afya ya mama na mtoto,vipigo au kupigwa kwa mama mjauzito,
3. wakati wa kujifungua na baada ya kuzaliwa,huduma duni ya kujifungua,watoa huduma kushindwa kumsaidia mama kujifungua salama,mtoto kuchelewa kupata pigo la mwanzo-score low marks- mtoto kupatwa na magonjwa hasa homa kali,maralia,UTI,homa ya uti wa mgongo,homa ya manjano,lishe duni,matumizi yasiyo sahihi ya dawa na matumizi ya muda mrefu ya dawa,

 

 


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.