Envaya

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

chama cha wastaafu na wazee ni asasi ambayo inafanya kazi kwa kuzingatia sera ya taifa ya wazee. kwa hali  hiyo wanachama hukutana mara kwa mara kujadili masuala ambayo yataleta mabadiliko katika  maisha na hasa kuondokana na umaskini. Hivi karibuni  chama kimetilia  mkazo mkazo suala la wazee kupata pensheni wote.

 

 

 

 

 

18 Mei, 2011
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.