Parts of this page are in Swahili. Edit translations
chama cha wastaafu na wazee ni asasi ambayo inafanya kazi kwa kuzingatia sera ya taifa ya wazee. kwa hali hiyo wanachama hukutana mara kwa mara kujadili masuala ambayo yataleta mabadiliko katika maisha na hasa kuondokana na umaskini. Hivi karibuni chama kimetilia mkazo mkazo suala la wazee kupata pensheni wote.
May 18, 2011