Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

MAFANUKIO YA MRADI NI YAPI?

Brayson kilamhama (Univeristy of DSM)
July 24, 2014 at 11:54 AM EAT

napenda kujadiliana nanyi suara hili lihusulo miradi kwani linazidi kunichanganya kutokana na pesa mziombazo kutofikisha mradi husika kwa walenga, hivyo nahitaji mnipatie maelezo zaidi ni yapi mlifanikisha na viziwi wanamdu vip kuitumia lugha hiyo ya alama na kwa mazingira gani? binafis mimi ni kiziwi nipo UDSM kinachonifanya nizulize hili ni kutokana na tafit zangu nilizozifanya hivi karibuni vzw wengi wamekuwa hawaijui lugha hiyo hasa maeneo ya vijijin nahitaji mnipatie maelezo ya kutosha kuhusu suara hili.


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.