Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

1. Kuwaendeleza washairi kiutunzi na maslahi ya kazi zao.

2. Kukikuza, kuendeleza na kukitunza kiswahili ndani na nje ya Tanzania.

3. Kulinda na kutunza utamaduni wa mswahili, aidha mila na silka zetu.

4. Kuendesha na kuunga mkono kampeni zote za kitaifa na kimataifa.

5. Kampeni maalum za kulinda maadili ya mswahili, wanawake, watoto, haki za kibinaadam, na unyanyasaji wowote wa kijinsia.

Amakuru agezweho
CHAMA CHA KUENDELEZA WASHAIRI ZANZIBAR yashyize MWELA THEATRE TAWI LA VUGA ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
tumepokea mail kutoka envaya, hii ni kuonesha tuko tayari kwa mashirikiano kamili
13 Gicurasi, 2012
CHAMA CHA KUENDELEZA WASHAIRI ZANZIBAR yakoze Ikipe paje.
ZANZIBAR NGOs CLUSTER. – WIZARA YA AFYA. – WIZARA YA HABARI. – IDARA YA MAZINGIRA. – BAKIZA, BASAZA, BAKITA, UKUTA NA JUMUIA NYENGINE ZA KISWAHILI.
26 Gicurasi, 2011
CHAMA CHA KUENDELEZA WASHAIRI ZANZIBAR yakoze Imishinga paje.
Kushiriki katika kampeni mbalimbali ikiwemo: – 1) Kupambana na maambukizi mapya ya HIV/AIDS. – 2) Kuhamasisha utunzaji wa mazingira. – 3) Kutoa elimu ya utungaji na utumiaji fasaha wa Lugha ya kiswahili. – 4) Kufanya mashindano ya utungaji na usomaji wa mashairi na ngonjera pia michezo ya... Soma ibindi
26 Gicurasi, 2011
CHAMA CHA KUENDELEZA WASHAIRI ZANZIBAR yakoze Amateka paje.
IMEANZISHWA 1996 ZANZIBAR, NA KUZINDULIWA RASMI 1997 NA WAZIRI WA HABARI WA SMZ, MHE. ISSA MOHD ISSA. – INA WANACHAMA 170. MIONGONI MWAO NI WASHAIRI NA WATUNZI MBALIMBALI, WAPENZI WA MASHAIRI NA WANAKISWAHILI. – MAKAO MAKUU YA AWALI YALIKUWA KIKWAJUNI WELES (1996-2007), KISHA KIJITO UPELE... Soma ibindi
26 Gicurasi, 2011
CHAMA CHA KUENDELEZA WASHAIRI ZANZIBAR yasanze Envaya.
26 Gicurasi, 2011
Ibyiciro
Aho uherereye
Amani Zanzibar, Zanzibar y'uburengerazuba, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye