Envaya
Kutoa elimu kuhusu umuhimu wa chumvi yenye maadini joto.

Kuondoa matatizo ya maradhi ya Goiter/tenzi ambayo mara nyingi hushambulia watoto wadogo.

Tunahamashisha hususan mama waja wazito kutumia chumvi yenye maadini joto kwa sababu mara nyingi hupelekea kuzaa watoto wafu,viziwi, bubu n.k.
Mabadiliko Mapya
Association of Zanzibar Salt Processing Organizations imehariri ukurasa wa Historia.
Mashamba 5 ya chumvi ya majaribio (4 Pemba, 1 Unguja) yalidhaminiwa na mradi wa uzalishaji chumvi kwa kutumia miunzi ya jua mwaka 1997. Mradi huu wa miaka miwili (1997-1999) uliofadhiliwa na UNDP kwa mtazamo wa kupunguza umasikini ulilenga kuanzisha fursa za kujiajiri kwa makundi ya vijana na wanawake. Moja kati ya majukumu makuu ya mradi ilikuwa... Soma zaidi
13 Julai, 2010
Association of Zanzibar Salt Processing Organizations imeumba ukurasa wa Historia.
Mashamba 5 ya chumvi ya majaribio (4 Pemba, 1 Unguja) yalidhaminiwa na mradi wa uzalishaji chumvi kwa kutumia miunzi ya jua mwaka 1997. Mradi huu wa miaka miwili (1997-1999) uliofadhiliwa na UNDP kwa mtazamo wa kupunguza umasikini ulilenga kuanzisha fursa za kujiajiri kwa makundi ya vijana na wanawake. Moja kati ya majukumu makuu ya mradi ilikuwa... Soma zaidi
2 Juni, 2010
Association of Zanzibar Salt Processing Organizations imejiunga na Envaya.
28 Mei, 2010
Sekta
Sehemu
WAWI CHAKE CHAKE, Pemba Kusini, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu