Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

June 24, 2012
« Previous Next »

Comments (1)

Mwenyekiti wa KIAVI Bw Gabriel .S. Ng'osha akiwa na timu ya KIAVI FC(KFC1) ya vijana walio chini ya miaka 15.KIAVI imeamua kuwalea na kuwasaidia vijana hawa kwasababu vipaji bora hujengwa toka chini.Timu hii inahusisha timu 2,KFC1 ikiwa na vijana wa kiume 17 na KFC2 ikiwa ni ya wasichana 16.nia yetu ni kukuza vipaji tofauti mbali na mpira pia kuna wachoraji,waimbaji,wanariadha,wacheza volleyball,netball n.k.
June 24, 2012

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.