Log in
ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA)

ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA)

Bunda, Tanzania

KWANINI VIJANA WANAJIHUSISHA NA VITENDO VYA UOVU?

ISHENGOMA MCHUNGUZI (PUGU)
January 16, 2018 at 10:08 PM EAT
naomba tuwasiliane
Marco Mathayo (Ngorongoro)
March 17, 2018 at 4:07 PM EAT

@Asasi ya ukombozi wa vijana AUVITA (via email): 

alkwinnews@gmail.com (mbeya)
March 22, 2018 at 1:14 PM EAT

@Africa Upendo Group: habari za kazi naomba mnielekeze jinsi ya kufungua na kuunda kikundi cha vijana nina maono hayo jamani msaada tafadhali.

Nicholaus Makata (Ifakara)
March 22, 2018 at 2:34 PM EAT

@ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA):

Hongera kwa kazi na majukumu mliyochukua kwa Vijana nimependa idea zenu ila kuna vitu private napenda tushare pls nitafute makatanick87@gmail.com

ROBERT ISHABISA (KAGERA - MULEBA)
April 26, 2018 at 1:08 PM EAT (edited April 26, 2018 at 1:09 PM EAT)

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 niliehitimu ya kidato cha nne tumeanzisha kikund cha vijana katika kata yetu ningependa kujua zaidi namna ya kukiinua na kupata maendeleo zaidi 

ntashukuru kwa msaada wenu 

kwa mawasiliaon ni 0685657781

ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA)
June 22, 2018 at 4:24 PM EAT

@STEVEN SYLIVESTER DUGUZA (KAGERA): nashukuru naomba unitumie email yako tuwasiliane

Kahuta (Mwanza City)
June 25, 2018 at 2:35 PM EAT

Nimepitia maandiko yote, kwa ujumla nimeona kuwa ipo haja ya kuelimisha vijana namna ya kujiunga kwa ajili ya uzalishaji. 

Kwa walioko Mwanza nawakaribisha kituoni kwetu ili wakajifunze bure. Kituo chetu ni cha taasisi isiyokuwa ya kiserikali inayofahamika kama Mwasenda Development Intervention (MDI). Tupo Nyasaka Centre - karibu na Buzuruga stand. 

Kahuta (Mwanza City)
June 25, 2018 at 2:40 PM EAT

@Emmanuel Mihambo (Mwanza,Nyamagana): 

 

Uko Nyamagana sehemu gani? 

 

Patrisi emanuel (Babati _ manyara)
August 6, 2018 at 11:06 AM EAT
Nimependa sana nimepata kionjo nahtaji elimu zaidi kuhusu ufugaji kilimo na biashara
dickson athanael (tabora)
February 18, 2019 at 4:53 PM EAT

Ni yaleyale AUVITA  mmeyainisha hapa yanayoileta jamii ya vijana pamoja katika maendeleo yetu kama vijna. Mimi hapa ni mwenyekiti wa shirika jipya la vijana Tabora linaloitwa JUVITA naamini ushirikiano wetu uaweza kutokomeza kero na changamoto za maisha tulizo nazo.

Alberti Rugana (Mwanza Nyamagana ., Malimbe)
August 23, 2019 at 10:21 AM EAT

@Africa Upendo Group: 


Add New Message (Hide)

Loading...
Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.