Envaya

large.jpg

Lakini mfugaji huyu ambaye ni Tunda la Africa Upendo Group bado anajishughulisha sana na ufugaji wa aina mbalimbali ikiwemo Samaki.Hili ni moja ya mabwawa yake ambayo yapo maeneo ya wazo na hapa Wataalamu kutoka Africa Upendo Group pamoja na Mbegani Fisheries wakiwa katika kupima maji ili kuona kama hewa inapatikana kwa wingi ili samaki wasife

15 Juni, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.