Envaya

TAHADHARI KWA WANANCHI WOTE

Shirika la APAPO linawatahadharisha wananchi wote hususani  mkoani Rukwa nchini Tanzania kuwa makini na watu wanaotumia vivuli vya Serikali kupoteza uhuru, wajibu na haki zao kikatiba na kuwa na hofu ya kutotumia fursa wanazopewa na serikali zao zenye lengo la kuwaboreshea maisha yao na taifa lao kwa ujumla.

2 Juni, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.