Envaya

APAPO tunaomba wawakilishi na watendaji wa serikali hususani wa ngazi za wilaya wasiotii sheria, wasiokuwa waadilifu na waaminifu kwa serikali kuu na raia wake, wanaposhindwa kutoa ushirikiano kwa shirika baada ya  kushirikishwa kama lilivyo lengo la Shirika, wasitumie fursa hiyo kuliharibia Shirika lengo na ahadi yake kwa serikali na raia wake. Sisi hatujaribu, Tunafanya.

May 29, 2013
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.