Parts of this page are in Swahili. Edit translations
KUJIUNGA NA ABHASU
Kwa mtu yeyote anayetaka kujiunga na shirika hili anakaribishwa kutuma maombi kwa mwenyekiti wa shirika ambaye atampatia fomu ya kujaza. Fomu hii italipiwa Tsh 1000/- [elfu moja tu]. Hakikisha umeisoma katiba na kuelewa madhumuni,malengo na faida ya uanachama kwanza. Nakala ya katiba imeeambatanishwa hapa chini.ABHASU_KATIBA_NEW.docx
Wenu Katibu Mkuu
ABHASU
April 30, 2012