Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

Hamjambo! WAKIHABIMA ilipata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wasaidizi wa kisheria lilioandaliwa na shirika la Legal Services Foundation (LSF) huko Dodoma kuanzia tarehe 24- 25 Oktoba 2016. WAKIHABIMA kwenye kongamano hili ilipeleka wawakilishi 2; Mr Tanmoza Fungafunga- M/kiti na Bibi Mwanaafa Wadi Malenga- Mjumbe wa k/tendaji. Ni Matarajio ya kila mwana WAKIHABIMA kuwa sasa shirika letu litakuwa limefunguliwa milango zaidi ya mafanikio.

31 Oktoba, 2016
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.