Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

WINGS ENVIRONMENT AND EDUCATION TRANSFOMATION UNITY
WEETU
(No Response)
FCS/MG/10/208
Dates: Julai1.2011 hadi Septemba 30,20122Quarter(s): 1
ROBERN FUMITO
P.O.BOX 6692
MOROGORO - TUSHIKAMANE

Project Description

Governance and Accountability
Mradi unalenga kuiwezesha jamii/wananchi kuimarisha misingi ya utawala bora na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma kwa kujenga uwezo wa kufuatilia fedha na rasilimali za umma na pia kufanya zoezi la ufuatiliaji wa matumizi hayo ili kusimamia na kuwawajibisha watendaji katika sekta ya elimu wilayani Mvomero na Morogoro(V) na kuongeza ufanisi na ubora wa sekta kwa ujumla.
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
MorogoroMvomero naDoma, Melela,Sewe, Mtipule,4000.
Morogoro (V)Mlali,Mzumbe,Mela,Melela,
Kisemu,Mkuyuni,Mongwe,Manza,
Langali,Bunduki,Yowe,Mifulu,
Kikeo,Kibati,Masanze,Ubiri,
Tchenzema.Lubungo,Bumu,
Maskati,Tawa,Mhonda,Kisala,
Mvomero,Kanga, Lusanga,Konde,
Hembeti,Mvuha, Diongoya,Kunke,
Mtibwa,Mhonda,Turiani,Mlaguzi,
Sungaji,Kiroka, Mlumbiro,Kiroka,
Diongoya. Mtamba,Uponda,
Milawilila,Gonja,
Kitungwa,Ndole,
Kilegezi,Changa,
Kibuko,Lungo,
Kanga,Dihinda,
Diovuva,Maskati,
Kinda,Langali,
Tengero,Pinde,
Maguruwe,Luale,
Bunduki,Vinile,
Masalawe,Kibati
Mgudeni,
Mkuyuni,
Kisimagulu,
Mvomero,
Hembeti.
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female7002000
Male6002000
Total13004000

Project Outputs and Activities

Tulifuatilia shughuli za Wanakijiji hasa katika mikutano ya hadhara ambayo wanakijiji walitualika.
Katika kipindi hiki hakukuwa na shughuli yoyote zaidi ya ufuatiliaji wa kazi zetu kama zinaenda vizuri.
Mafanikio tuliypyapata hasa kwa wajumbe wale waliohudhuria semina ya kufanya PETS waliweza kuitisha mikutano ya kamati za shule na wanakijiji waliitikia wito wa wawakilishi hao bila matatizo yoyote.
Hakuna tofauti zozote zilizojitokeza.
Posho ya Mratibu mradi 600,000/=
Posho Mtunza Fedha 600,000/=
Pango la Ofisi 450,000/=
Usafiri Shughuli za Utendaji 579,200/=
Mawasiliano 50,000/=
Jumla kuu ni 2,279,200/=

Project Outcomes and Impact

Ufuatiliaji na tathmini ulifanyika Doma,Mhonda - Turiani,Tchenzema.
Walitualika kuhudhuria mikutano ya hadhara ambapo tulisaidia kueleza taratibu za utendaji za kamati ya shule.
Kamati nyingi za shule zilifufuliwa na kujua na kutekeleza wajibu wao.
BAada ya kufanya Ufuatiliaji na utafiti Kamati nyingi za shule zimejua wajibu wao kwani hapo awali walikuwa hawajui zinaendeshwaje.

Lessons Learned

Explanation
Kulikuwa na uhasama usio wa lazima kati ya watendaji (walimu wakuu),Kamati za Shule na wanakijiji kwa kuwa kulikuwa hakuna mawasiliano mazuri.
Wananchi walidhani pesa zao zinatumika vibaya lakini hii ni kwa sababu walikuwa hawafahamu mipango na bajeti za Shule.

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Kuna vijiji ambavyo havipo katika mradi walitualika na tukashindwa kwenda.Tulialika wajumbe hao katika vijiji vile ambavyo tunafanya nao kazi.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Kamati za shule,wazazi na wananchi wengine.walishiriki katika Mikutano ya Hadhara ya kupanga mipango mbalimbali ya shule.

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Kufanya PETS katika Sekta ya elimu katika Wilaya mbili za Mkoa wa Morogoro katika kata 22.JanuariFebrMachi

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
(No Response)

Events Attended

(No Response)

Attachments

(No Response)

FCS Narrative Report

Introduction

WINGS ENVIRONMENT AND EDUCATION TRANSFOMATION UNITY
WEETU
UFUATILIAJI WA RASILIMALI ZA UMMA (PETS)
FCS/MG/10/208
Dates: April 1,2011 hadi Juni 30,2011Quarter(s): 1
MODESTI JOSEPH MKUDE
P.O.BOX 6692
MOROGORO - TUSHIKAMANE

Project Description

Governance and Accountability
Mradi unalenga kuiwezesha jamii/ wanachi kuimarisha misingi ya utawala bora na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma kwa kujenga uwezo wa kufuatilia fedha na rasilimali za umma na pia kufanya zoezi la ufuatiliaji wa matumizi hayo ili kusimamia na kuwawajibisha watendaji katika sekta ya elimu Wilayani Mvomero na Morogoro Vijijini na kuongeza ufanisi na ubora wa sekta kwa ujumla.
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
MorogoroMvomero naDoma,Melela,Sewe,Mtipule,
Morogorgo ( V)Mlali,Mzumbe,Mela,Melela,
Kisemu,MkuyuniMongwe,Manza,
Langali,Bunduki,Yowe,Mifulu,
Tchenzema,Masanze.Ubiri,
Kikeo,Kibati,Lubungo,Bumu,
Maskati,Tawa,Mhonda,Kisala
Mvomero,KangaLusanga,Konde
Hembeti,Mvuha,Diongoya,Kunke
Mtibwa,Mhonda,Turiani,Mlaguzi
Diongoya,Mlumbiro,Kiroka
Sungaji,Kiroka.Mtamba,Uponda
Milawilila,Gonja
Kitungwa,Ndole
Kilegezi,Changa
Kibuko,Lungo,
Kanga,Dihinda
Diovuva,Maskati
Kinda,Langali,
Tengero,Pinde
Maguruwe,Luale
Bunduki,Vinile
Masalawe,Kibati
Mgudeni,
Mkuyuni,
Kisimagulu,
Mvomero,
Hembeti.4000
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female7002000
Male6002000
Total13004000

Project Outputs and Activities

Zoezi la Ufuatiliaji wa Awali limefanyika na kufanikiwa katika kata 22 za Wilaya ya Mvomero na Morogoro (V) na matokeo yake kuwekwa bayana.
Kuunda timu ya kufanya mafunzo ya utafiti wa PETS.Washiriki 50 walipatiwa mafunzo na kushiriki katika kufanya PETS na walipatiwa toka eneo la Mradi.
Masuala yaliyoshughulikiwa wakati wa utekelezaji ni Washiriki walipata mafunzo na walitengeneza dodoso za kutumia wakati wa kufanya ufuatiliaji,mafunzo yalifanyika Morogoro Manispaa mwezi wa sita.
Katika shughuli hii hakuna tofauti zozote zilizojitokeza.
Usafiri Wajumbe 500,000/=
Chakula na Vinywaji kwa Washiriki ni 2,100,000/-
Malazi na Posho ya Kujikimu 5,000,000/-
Honoraria kwa wawezeshaji 1,600,000/-
Malipo Ukumbi 800,000/-
Note Book 50,000/-
Markpen 24,000/-
Maskin tape 8,800/-
Posho ya Mratibu 600,000/-
Posho ya Mtunza Fedha 600,000/-
Pango la Ofisi 450,000/-
Usafiri kwa shughuli za uendeshaji 699,000/-
Mawasiliano 75,000/-
Jumla kuu ni sh.12,506,800/=

Project Outcomes and Impact

Mafunzo yalifanyika Morogoro Manispaa na watafiti 50 walipatiwa Mafunzo.
Asilimia 100 ya wajumbe waliopewa mafunzo wameweza kutengeneza dodoso za kuwawezesha kufanya ufuatiliaji wa PETS.

Wajumbe waliopewa mafunzo walikuwa hawajui mbinu za kumuingilia mtu na kuongea naye lakini walipopata mafunzo haya walielewa vizuri na wakaenda kufanyia kazi.

Tuliweza kufanya Igizo la jinsi ya kufanya mahojiano na wajumbe walifanya vizuri kabisa.
Uwezo wa wajumbe katika kuhoji maswali umeongezeka na hata sehemu zile walizotoka wameweza kuhojiwa sana.kuhusu kufanya dodoso.
Wajumbe wengi walikuwa hawajawi kufanya utafiti na mbinu za kutumia katika kukusanya hizo data,yani walikuwa hawajawahi kujengewa uwezo wa kuthubutu kuhoji na hadi mtu akakupa taarifa zake bila kumuudhi wala ugomvi wa aina yoyote.

Lessons Learned

Explanation
Wananchi wakijengewa uwezo wanaweza kufanya utafiti uliokuwa mzuri kabisa.
Ufuatiliaji wa PETS unaweza kufanywa na wananchi wa kawaida kabisa ila pale watakapojengewa uwezo tu.

Challenges

ChallengeHow it was overcome
MawasilianoBaadhi ya wajumbe ilikuwa vigumu kuwapata kutokana na mawasiliano waliyotuachia hivyo ilitulazimu kutumia vijiji jirani ili kuwafikishia ujumbe.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Watendaji wa kata,waratibu elimu kata na Watendaji wa VijijiKutusaidia kufikisha ujumbe kwa wajumbe ambao walikuwa wanahitajika kwenye mafunzo na tukashindwa kuwapata kwa namba zao walizotuachia.
Mashirika mengine yasiyo ya Kiserikali yanayofanya kazi katika Mkoa wa MorogoroWalitusaidia kupata wawezeshaji wa Semina hii.

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Kufanya PETS katika Sekta ya Elimu katika Wilaya mbili za Mkoa wa Morogoro katika kata 22januariFebruMachi

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
Washiriki wa mafunzo ni 50 kutoka kata 22

Events Attended

(No Response)

Attachments

(No Response)

wapendwa wanaharakati ni masikitiko yetu makubwa sana kwani mkuu wetu wa shirika ndugu modest mkude ameaga dunia mnamo mwezi wa tisa kifo chake ni pigo kwetu tutamkumbuka sana.amina

FCS Narrative Report

Introduction

WINGS ENVIRONMENT AND EDUCATION TRANSFOMATION UNITY
WEETU
UFUATILIAJI WA RASILIMALI ZA UMMA (PETS)
FCS/MG/1/10/208
Dates: Januari 1, 2011 to March 31,2011Quarter(s): 1
MODEST JOSEPH MKUDE
P.O BOX 6692
MOROGORO

Project Description

Governance and Accountability
Mradi huu unalenga kuiwezesha jamii/wananchi kuimarisha misingi ya utawala bora na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma kwa kujenga uwezo wa kufuatilia fedha na rasilimali za umma na pia kufanya zoezi la ufuatiliaji wa matumizi hayo ili kusimamia na kuwawajibisha watendaji katika sekta ya elimu wilayani Mvomero na Morogoro vijijini na kuongeza ufanisi na ubora wa sekta ya elimu kwa ujumla
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
MorogoroMVOMERO NA MOROGORO (V)Doma, Melela, Mlali, Mzumbe, Kisemu, Mkuyuni, Langali, Bunduki ,Tchenzema, Kikeo, Kibati, Maskati, Tawa, Mvomero, Hembeti, Mtibwa, Diongoya, Mhonda, Kanga, Sungaji, Mvuha, KirokaSEWE, MTIPULE,MELA,MELELA,MONGWE,MANZA,YOWE,MIFULU,MASANZE,LUBUNGO,MHONDA,UBIRI, LUSANGA,DIONGOYA,TURIANI,KISALA,MLAGUZI,MLUMBILO, KUNKE,LUNGO,KANGA,DIHINDA,KILOKA,DIOVUVA,KONDE,MTAMBA,UPONDA,MILAWILILA,KITUNGWA,KILENGEZI,CHANGA,KIBUKO,MKUYUNI,MAKUYU,MGUDENI,MVOMERO,HEMBETI,KISIMAGULU,KIBATI,GONJA,NDOLE, MASKATI,KINDA,LANGALI,TENGERO,MAGURUWE,BUNDUKI,BUMU,PINDE,VINILE,LUALE,MASALAWE4000
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female7002000
Male6002000
Total13004000

Project Outputs and Activities

•Mafunzo ya namna ya kushiriki na kufuatilia matumizi ya fedha za umma na rasilimali nyingine katika sekta ya elimu yametolewa kwa kamati za maendeleo za shule kwa kata 22 za wilaya 2
Kutoa mafunzo kwa wajumbe wa kamati za shule na wawakilishi wa wajumbe wa serikali za vijiji juu ya namna wanavyoweza kufuatilia rasilimali za fedha zinazotengwa katika sekta ya elimu Wilayani Mvomero na Morogoro vijijini katika kata 22 kwa vituo 5 kwa siku 3 wajumbe 50 kila kituo.
Kituo cha Langali, Mvomero,Mhonda,Mlali na Mkuyuni tumefanya yafuatayo:- Kutoa mafunzo: kwa kamati za shule juu ya majukumu na wajibu wa kamati za shule,muundo wa serikali na mitaa na maana yake,dhana ya mipango na bajeti, maana na umuhimu wa ufuatiliaji wa Fedha na rasilimali za umma, sheria na wajibu wa umma katika kufanya PETS.Idadi ya washiriki katika vituo hivyo ni hivi :-Mlali-49,Mvomero-44,Mhonda-54,Mkuyuni-51Langali -50.
Tofauti iliyopo ni idadi ya wajumbe wa warsha za mafunzo katika vituo ambapo tulitegemea kila kituo washiriki wangekuwa 50 lakini kulikuwa na tofauti kama ifuatavyo:-Langali-50,Mlali-49, Mvomero-44, Mhonda-54,Mkuyuni-51
-Chakula na vinywaji kwa washiriki wa semina/warsha 4,464,000,
-Malazi kwa washiriki 5,952,000
-shajara 602,000
-usafiri 8,605,000
-honolaria kwa wawezeshaji 4,500,000
-Posho ya mtunza hazina na mratibu 1,200,000
-malipo ya ukumbi 720,000
-ununuzi wa vifaa vya utendaji na ofisi 3,500,000
-Pango la ofisi 450,000
-Mawasiliano 60,000
Jumla ya matumizi 30,053,000.

Project Outcomes and Impact

Kamati za shule zinatekeleza majukumu yao hasa katika ufuatilaiji na upangaji wa shughuli za maendeleo za shule na kusimamia na kufuatilia matumizi ya fedha zinazotengwa na pia ushiriki wa wananchi katika kupanga na kusimamia maendeleo na rasilimali za umma katika sekta ya elimu umeongezeka
Asilimia 75 ya wajumbe wa kamati za shule hawakufahamu majukumu na wajibu wao hasa katika suala la umililiki ya shule .baada ya utekelezaji wa mradi wajumbe wamefahamu nafasi zao katika kusimamia shughuli za maendeleo ya shule kitaaluma na kimiundo mbinu.

Walimu wakuu na wajumbe wa kamati za shule wamefahamu umuhimu wa kuwa na mipango ya maendeleo ya shule hivyo kila shule zilizopata mafunzo wameweka mikakati ya kuwa na mpango ifikapo Julai 2011.

Wajumbe wa kamati wameelewa wajibu wao wa kufuatilia mapato na matumizi ya Fedha na Rasilimali za shule na kijiji na wametambua kuwa ni haki yao kujua. Hivyo baadhi ya wajumbe wameanza papo kwa papo kuuliza mapato ya shule toka kwa walimu wakuu wao wa shule zao.

Pamoja na hilo wajumbe wa kamati za shule wameanza kuulizia mipaka ya shule zao na namna watakavyoweza kufanya upimaji wa ardhi ya shule zao.
Idadi ya wajumbe wa kamati zashule imeongezeka mara baada ya kufahamu idadi kamili za wajumbe na kamati za shule. Aidha kamati za shule zimeweza kujigawa katika kamati ndogondogo za utendaji baada ya kupata maelekezo toka wa wawezeshaji wa Semina.

Utafutaji wa rasilimali umeongezeka baada ya wajumbe kuelewa wajibu wao kwa maendeleo ya shule.

Maofisa elimu wameona haja ya kuendeleza mafunzo haya kwa shule nyingine ambazo hazipo katika eneo la mradi.
Kamati nyingi hazijawahi kupata mafunzo ya wajibu wao.
Wanananchi wakiwemo wajumbe wa kamati za shule zilibaki katika hali ya kutofahamu kuwa wana haki ya ya kuhoji mapato na matumizi ya Fedha na rasilimali za umma.

Rasilimamali fedha toka Serikalini hazifiki kama zilivyopangwa katika ngazi ya vijiji na kama zinafika ni kiasi kidogo ukilinganisha na kiasi kilichotolewa na wizara. Kwa MMeM kisera inaonesha kila mwanafunzi alitakiwa kupata Tsh 10,000,lakini kwa maelezo ya walimu wakuu waliohudhuria mafunzo hakuna hata shule moja ambayo mwanafunzi amepata zaidi ya Tsh.5,000.

Lessons Learned

Explanation
Kamati za shule na jamii vijijini hawajui haki zao za msingi za kufahamu na kuhoji mapato na matumizi ya fedha na rasilimali za umma.

Walimu wakuu na walimu wengine katika shule hasa zile za vijijini wanatumia mwanya huu wa kutokufahamu kwa wajumbe na jamii juu ya mapato na matumizi ya fedha na rasilimali za umma kutumia vibaya yaani nje ya makusudi halisi ya fedha au rasilimali husika.
Shule na vijiji hazina mipango ya maendeleo na hivyo kutokuwa na vipaumbele vya utendaji.mwanya huu unawapa nafasi fedha toka wilaya kutumika nje ya vipaumbele vya shule/vijiji.
Utekelezaji wa Mpango wa MMEM katika ngazi za vijiji vilivyo mbali na miji na barabara kuu hasa ujenzi wa vyumba vya madarasa upo chini sana kwa idadi na ubora.
Wanakijiji wakielimishwa wana uwezo wa kuelewa na kutenda.

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Kufika katika vijiji husika vya mradi kwa wakati haikuwa rahisi kutokana na miundombinu ya barabara kuwa mibovu.Kukodi gari imara lenye 4w ili kumudu kufika katika vijiji hivyo.
Baadhi ya madiwani kushindwa kuhudhuria mafunzo muhimu ya kamati za shule kutokana na malipo madogo ya FCS/WEETUKukutana nao uso kwa uso kuwaeleza umuhimu wa mafunzo.
Kuwaalika wawakilishi wao
Gharama za kununua vifaa hasa vya ofisini kuwa kubwa zaidi ya bajeti ya mradi. Mfano Photocopier ya ofisi.Kuandika barua kwa msimamizi wa mradi kuomba kuunganisha bajeti ya printer na photocopier ili kununua photocopier.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Ofisi ya Afisa elimu msingi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero na Morogoro vijijiniMkutano wa kutambulisha mradi huu wa PETS
-kupata wawezeshaji kwa mafunzo ya kamati za shule.
-kupata maelezo ya mipango na bajeti za Halmashauri kwa maendeleo ya elimu katika vijiji vya mradi.
Waratibu elimu kata na watendaji wa vijiji.-Kuandaa shughuli za mafunzo na kuwaarifu wajumbe.
-Kueleza mipango ya kijiji na ya shule katika maeneo yao.
Waandishi wa habari-Kutoa taarifa kwa wananchi juu ya dhana na mchakato wa kufanya PETS.
Mashirika mengine yasiyo ya kiserikali yanayofanyakazi katika vijiji vya mradiKubadilishana ratiba na mawazo ili kutogongana katika kuwatembelea wanakijiji kwa makusudi ya kutekeleza miradi.

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Kuunda timu na kufanya mafunzo ya utafiti wa PETS. Washiriki 50 watapatiwa mafunzo na kushiriki katika kufanya PETS, na watapatikana toka eneo la mradi
AprilMayJune

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
Washiriki wa mafunzo ni 248 kutoka katika kata 22

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Tuzo2009Utendaji wa asasi na wajibu kwa jamii katika kuleta mabadlikoya kweliKuimarisha asasi yetu kwa kuongeza watendaji na vifaa ilikutimiza wajibu wetu kwa jamii walengwa.
Kuhudhuria mafunzo ya uendeshaji wa miradi2010Jinsi ya kuandaa taarifa za utendaji na Fedha kwa Asasi Kuboresha taarifa za shirika ilikuwezesha wadau kupata taarisa sahihi kwa maendleo ya jamii.

Attachments

HISTORICAL BACKGROUND OF THE ORGANIZATION

 

WEETU is the acronym for WINGS ENVIRONMENT AND EDUCATION TRANSFORMATION UNITY. It is an organization which aims to bring about sustainable environment management through increasing access to quality education among the public. The driving force behind that aim is the belief that   a community having a good education is also capable to sustain and utilize environmental resources at their proximity to achieve their own development needs without necessarily compromising the future generation in achieving the same.

 

History

 

WEETU started to operate in 1995 as a unit in another NGO known as Homboza Corridor Environmental Protection and Development Promotion Society (HOCEDCO). At that time it was known as HOCEDSO-WEETU.

 

WEETU was registered under the Tanzania NGO Act of 2002 in 6th of January 2006. The official headquarters of the organization is Changarawe, a village nearby Mzumbe University, some 22km South of Morogoro Municipality en-route to Iringa. However, currently WEETU office is located at Tushikamane centre in Morogoro Municipality along the road leading to the famous Kilakala Secondary school just opposite Morogoro Diocese Roman Catholic Bishop’s House.