
Waandishi wa habari wakiendelea na kazi ya uandishi wa habari za semina

Mwenyekiti wa WAENDELEE Bwana Ally Shamte akitoa maelekezo kwa wanasemina

Mjumbe wa WAENDELEE Mhandisi Haruna Sumwa akitoa maelekezo kwa wanasemina

washiriki wa semina wakiwa wanasikiliza na kuandika yale wanaofundishwa

Washiriki na wawezeshaji wa semina ya kupanda na ufugaji bora wa nyuki 2015

Washiriki wa semina ya kupanda miti na ufugaji bora wa nyuki iliyofanyika Mjini Singida 2015