Envaya
Parts of this page have been translated from Swahili to English. View original · Edit translations

large.jpg

FEMALE CONDOM DEMONSTRATION

UVIKITWE GROUP, through sponsorship of The Foundation For Civil Society,  successfully implement a project for young people about the effects of drug use and its relationship with HIV / AIDS. This project has been implimented in Bagamoyo district into six wards, which are Vigwaza, Chalinze, Ubena, Msata, Miono and Kiwangwa. This project has been able to reach young ninety (90) who use and do not use drugs.

The success of the project

  • Established and registered CBOs in ten (10) those that provide this education to the community.
  • About 12 youngsters who were using drugs, they can recognize and kuachamatumizi drugs
  • Four youths have been appointed by four entering the AIDS committees and ward committees WODC.

Encounted challenges.

  • Needs of the community above the capacity of institution
  • The need for life skills education for the whole community, as a tool to bring about behavior change.
  • Bagamoyo District was a great way to import drugs from Zanzibara, which is the main way of entry of drugs from foreign countries. B

 

 

 

 

 

 

Photos of some young people who attended the project counties elimurika studies on the effect of drug use and its relationship with HIV / AIDS.

large.jpg

Majadiliano katika maeneo ya wazi na wananci wanaoishi kwenye machimbo ya Masuguru Mbinga

large.jpg

Baadhi ya akina dada waliokuwa wanafanya biashara ya ngono katika machimbo wilayani Mbinga wakiwa pamoja na uongozi wa Uvikitwe katika ofisi za kata ya Kigonsera Mbinga

Mradi wa elimu ya kina kuhusu uwezo kujikinga na maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa wafanya biashara za ngono na watumiaji wa dawa za kulevya katika maeneo ya machimbo ya Dar-pori, Masuguru, Mpepo na Lukarasi yalioko katika wilaya ya Mbinga - mkoa wa Ruvuma. Mradi huu umeweza kuleta mabadiliko makubwa sana kwa wlengwa wa moja kwa moja, baada ya kupewa elimu ya stadi za maisha na kuweza kuwajengea uwezo wa kujitambua na kutambua mahitaji yao ya msingi, pia mradi huu umeweza kuleta mabadiliko ya shughuli za kiuchumi hasa kwa akina dada wanaojiuza kwenye maeneo ya ya machimbo baaday kuwa kufikia uamuzi wa kubadilisha kazi ya kujiuza kama njia ya kijipatia riziki ya kilasiku, na kuanzisha biashara zingine kwa mtaji wa sh millioni 25 ( TZS 25,000,000) kama ruzuku kwa njia ya vikundi. vikundi vilivyoanzishwa na kusajiliwa rasimi na serikali ni vikundi 12, kumi vikiwa ni vya akina dada na viwili ni vya akina kaka wanaotumia dawa za kulevya. Lengo la uvikitwe ni kuweza kutumia fursa zilizopo ili kuweza kuiokoa jamii ya kitanzania hasa iliokuwa masikini zaidi, kwa kuwajengea uwezo wa kiuchumi, kiutamaduni na kisikolojia.