Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

SHERIA MPYA YA MIFUKO YA HIFADHI JAMII NI MAANDALIZI YA UMASKINI UZEENI

joseph henry (TANGA)
3 Kanama, 2012 at 10:47 EAT

kitendo cha Bunge letu la jamhuri ya muungano wa Ta nzania kupitisha sheria ya kua kujitochukua mafao kwa mfanyakazi mpaka kutimiza umri wa kustaafu utachangia vijana wengi kushindwa kujiandaa na maisha yao ya baadae pia swala la mtumishi kutumia mafao yake  ni lake binafsi kwani wapo wafanyakazi amb ao hutumia kiasio kidogo walisho kusanyanya kwa ajili ya kujisomesha au kutimiza malengo yake.je wewe unasemaje?na pia hakuna aliye na mkataba na Mungu


Andika ubutumwa (Hisha)

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.