Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri
TEYODEN yaendesha mafunzo ya stadi za maisha na sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007
Katika kutekeleza mradi wa ukuongeza ari kwa vijana katika ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika shughuli za kijamii,TEYODEN inaendesha mafunzo ya siku sita kwa vijana wawakilishi kutoka kata 12 za mradi huu ambao umefadhiliwa na The Foundation for Civil Society wenye thamani ya shilingi miliono 35 na mradi huo utakuwa na shughuli takribani kumi za kutekelezwa katika kipindi cha mwaka mmoja.
4 Januari, 2011