sijwahi kusikia kuwa kuna mtandao hapo awali lakini sasa nasikia na nilishawahi kuona kwenye TV ya mlimani habari za mtanao,lakini mbona hafikii vijana wengi wa Temeke.Tafadhali tunaomba mpanue shughuli zenu ili mfikie sehemu kubwa ya vijana wa Temeke ambao ndio walengwa wakubwa wa shuguuli zenu.
Comments (1)