TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO YA USHONAJI KWA WATU WENYE KIPATO KIDOGO
Tanzania Single Mothers and Youth Development Trust (TASMOYODET) kupitia kitengo cha mafunzo ya ujasilia-mali inatangaza nafasi za masomo ya ushonaji kwa miezi sita:
- Masomo haya yatatolewa bure kwa familia zenye kipato kidogo hasa wasichana wanaofanya kazi majumbani(House girls) na wanawake wasiojiweza.
USAJILI: Usajili unaendelea kila siku kwenye ofisi za shirika zilizopo nyuma ya kanisa la RC-Makuburi Dar Es Salaam saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:00 mchana. Gharama za FOMU ni shilingi 5000/=.Shukia External au Garage baada ya hapo ulizia kanisa la RC Makuburi ambapo ofisi zipo nyuma ya kanisa hilo.
Karibuni sana. 0717-292843/0756-451550
Kwa maelezo zaidi piga simu numba: 0717-292843/0752-498579
7 Kanama, 2012