Envaya

large.jpg

Kulia ni Mtunza hazina wa TACOMO Ezekiel Kamanga akiwa na Mkurugenzi wa TACOMO wakitafakari jambo.

large.jpg

Je uvunaji huu wa kisasa unaoendelea katika shamba la shirika la kilimo Uyole Jijini Mbeya, wakulima wadogohasa vijijini watafikia hapo?

large.jpg

Wakina Mama wajasiliamali katika Kata ya Mshangano Manispaa ya Songea wakiuza mazao ya mbogamboga chini katika Soko la Mshangano ambapo wamekuwa wakitozwa ushuru wa kati ya Shilingi 200 na 500 kwa siku kutokana na biashara hiyo,licha ya kuwa ni hatari kwa afya za watumiaji,imekuwa ikishangaza kuona Manispaa inachukua ushuru bila kujali kutengeneza miundombinu stahiki katika soko hilo jambo ambalo linatafsirika kama ni kuwadhulumu wakina mama hao miaka 50 ya uhuru.

large.jpg

Daraja la udongo hilo je ni salama ama ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi tunaowachagua?!!!

large.jpg

Watoto kama hawa wanastahili kuendelezwa vipaji vyao kama wanavyoonekana, hawana viatu lakini duh! mambo safi

large.jpg

TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.

large.jpg

Wanafunzi wa shule ya Msingi Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaosoma darasa la sita na la saba wapata0 93 wakiwa katika darasa moja!!!

large.jpg

Kilimo kwanza Tanzania 2011

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaosubiri kuhamishwa na Serikali kupisha hifadhi ya wanyama

large.jpg

Kihenge cha kuhifadhia nafaka ukiwemo Mpunga, Karanga n.