Envaya
SAVE CHILDREN OF TANZANIA [SACHITA]
Discussions
Parts of this page are in Swahili.
Edit translations
matatizo ya watoto je tunayatatua
(2)
hapo dad benadeta+ni kutoa elim katika jamii husika tutakuwa tumekomesha tatizo hilo
April 25, 2014 by underson
JUKUMU LA KULEA WATOTO NI LETU SOTE.
Asilimia kubwa ya wa kina baba wamekuwa wakiwaachia wakina mama swala la malezi ya watoto.baba na mama wote mnatakiwa kuwa mstali wambele katika kuwalea watoto si mzazi mmoja.
September 29, 2012 by benardina mwita
Other discussions on Envaya
Add New Discussion Topic