Envaya

PANGANI COAST CULTURAL TOURISM PROGRAMME

TANZANIA YAWEKA REKODI: VIVUTIO VYOTE VYA TANZANIA VYAINGIA KATIKA ORODHA YA MAAJABU SABA YA ASILI BARANI AFRIKA

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

TANZANIA YAWEKA REKODI: VIVUTIO VYOTE VYA TANZANIA VYAINGIA KATIKA ORODHA YA MAAJABU SABA YA ASILI BARANI AFRIKA

Na: Geofrey Tengeneza

Tanzania imeweka rekodi ya aina yake baada  ya vivutio yake vyote vitatu vilivyoingia katika shindano la kutafuta Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika kushinda na kuingia katika orodha ya Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika. Aidha hifadhi ya Taifa ya Serengeti kimetajwa kuwa ni kivutio pekee kilichopigiwa kura nyingi zaidi  miongoni mwa vivutio vyote vya Afrika vilivyoshindanishwa katika shindano hilo.Read more

 

« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.