Envaya
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT
Habari
Uwezo wa asasi nyingi za kiraia hapa Tanzania, zinahitaji kupata msaada kutoka mashirika makubwa. Hivyo iko sababu ya kujituma ili kuweza kuyafikia malengo yaliyowekwa katika Asasi hizo.
6 Juni, 2021
« Iliyotangulia
Maoni (1)
ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT
(Sokoine, Tandahimba - Mtwara, Tanzania. ) alisema:
Asasi nyingi ndogo ndogo, wafanya kazi wake ni wale wa kujitolea. Juhudi kubwa zinahitajika hasa ushirikiano wa pamoja ili kuzipa uhai asasi hizo.
6 Juni, 2021
Ongeza maoni
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.
Maoni (1)