Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Shirika la NURU HALISI jana tarehe 28 July ilikabidhiwa rasmi tuzo ya mazingira iliyotolewa tarehe 5 May 2010 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na mkuu wa kitengo cha Mazingira kwa niaba ya Mkurugenzi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala. Hafla ya kupokea tuzo hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Arawa Mazizini Ukonga.

July 29, 2010
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.