Log in
Nachingwea Multsectral Initiatives

Nachingwea Multsectral Initiatives

Nachingwea, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Kuimarisha uwezo wa jamii na kuwajengea uwezo katika shughuli zao ili kufanikisha malengo yao

Latest Updates
Nachingwea Multsectral Initiatives created a Volunteer page.
Tunajitolea ktk secta kama afya ,elimu ,kilimo, mazingira, pamoja na masuala ya haki za kibinadamu na tunatoa huduma ktk majanja mbalimbali kama njaa, tetemeko la ardhi na magonjwa ya milipiko
September 22, 2016
Nachingwea Multsectral Initiatives created a History page.
Nachingwea Multsectral initiatives NGO ilianzishwa mwaka 2016/19/january – Nalimesajiliwa kwa sheria ya NGO ya mwaka 2002.made under section12ofAct No. 24 of 2002 – Mamba ya usajili wa Shirika ni 00NGO/08379
September 22, 2016
Nachingwea Multsectral Initiatives created a Team page.
Mwenyekiti-Thomas. K. Chitanda – Katibu-Ally. S. Mmoto – Mtunza hazina - Rosina Nguruwe – Afisa miradi-Idd Pathan – WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
September 21, 2016
Nachingwea Multsectral Initiatives created a Home page.
Kuimarisha uwezo wa jamii na kuwajengea uwezo katika shughuli zao ili kufanikisha malengo yao
September 21, 2016
Sectors
Location
Nachingwea, Lindi, Tanzania
See nearby organizations