Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

NGOME inafanya Utafiti wa Matatizo yanayofanya kuwe na Ndoa zinazovunjika mara kwa mara katika kata za Ufukoni na Mpapura ili kupanga mbinu mbadala ya kutatua tatizo hili linalopelekea maambukizi ya UKIMWI kuzidi kuenea kwa kasi kubwa pamoja na watoto wa Mitaani.

May 26, 2011
« Previous Next »

Comments (1)

Matokeo ya Utafiti huu unaoendelea yatawekwa katika tovuti hii na kukaribisha mchango wa mawazo ya kuboresha utafiti na njia za kuondoa tatizo hilo.
May 26, 2011

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.