Envaya

Mpalano  strives to promote cultural activities of Tanzanian Communities for posterity’s heritage and as means to catalyzing sustainable community development.

Mabadiliko Mapya
Mpalano Culture in Development (MPALANO CDO) imeongeza Habari 5.
Wana vikundi kutoka vijiji vya Mbambo, Kambasegela na Ilamba wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja na Afisa Maendeleo ya Jamii Agnes Elikunda, na Mkuu wa Idara ya Mifugo Dr. Sangwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, baada ya kutoa mafunzo ya uhamasishaji kuhusu ufugaji wa kuku, sungura na nyuki! Kulia... Soma zaidi
14 Julai, 2018
Mpalano Culture in Development (MPALANO CDO) imeongeza Habari.
Wajumbe wa vikundi vya Uzalishaji mali katika Kijiji cha Mbambo, Wakionesha vitendea kaz ili kuanza kazi rasmi baada ya mafunzo yaliyotolewa na Mpalano CDO kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya Busokelo mkoani Mbeya. Soma zaidi
26 Aprili, 2017
Mpalano Culture in Development (MPALANO CDO) imeongeza Habari.
Members of Mpalano CDO Board during board meeting in Dar es Salaam recently.
23 Aprili, 2017
Mpalano Culture in Development (MPALANO CDO) imeongeza Habari 2.
Mafunzo ya kuimarisha uwezo wa wanawake viongozi Wilaya ya Mbozi kaza za Ichenjezia, Nyambili, Iyula, Isanza, Ipunga, Ihanda, Mlowo, Ruanda na Isandula. Kwa Ruzuku kutoka women Fund Tanzania. Soma zaidi
22 Aprili, 2017
Mpalano Culture in Development (MPALANO CDO) imehariri ukurasa wa Timu.
Andulile RaphaelChairperson. – Senior Statistician who has served in different roles in public service in Ministry Departments, Independent state Departments and Agencies. He is a talented motivational public speaker and organiser. – Adam Gwankaja ... Soma zaidi
22 Aprili, 2017
Sekta
Sehemu
Igurusi, Mbeya, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu