OMBI LA KUPATA WAFADHILI KUTOKA NCHI MBALIMBALI
AGNES FUNGO (MAKUYUNI-KOROGWE)May 1, 2020 at 11:41 AM EAT
Naomba kupata ufadhili wachereni zakudarizi nazakawaida zakushonea napia niwezekupata eneo zuri lakudumu lakufanyia kazi,,tayari ninacherehani moja,,vilevile naomba kupata wadhili tupate kinanda ,,Ngoma,,kayamba zakisasa navifaa vyote vyamuziki,,katika kigango chetu makuyuni,,,, tunaimba kwaya ya Mt.Aloyce Wa Gonzaga kigangoni,,kwamawasiliano,,,,,0626671554
AGNES FUNGO (MAKUYUNI-KOROGWE)May 1, 2020 at 11:54 AM EAT
Naomba kupata ufadhili wachereni za kudarizi zakisasa,,,nacherehani zakawaida pamoja nakutafuta sehemu yakudumu yakufanyia shughuli hi yaushonaji,,,kwani tayar ninacherehani moja tu yakushonea,,,kwamawasiliano,,,0626671554
ABISAI JOHN MSIKE (Morogoro)August 29, 2020 at 10:42 PM EAT
Jifunze na ijue Afya yako organization
Ni taasisi inayojiusisha na utoaji was elimu na ushauri juu ya maswala mbalimbali ya afya ya binadamu pia tunatoa misaada kwa watoto yatima na watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi(magumu)
Tunaomba ufadhili wa ndani na nje ya nchi kwa walio tayari kutusaidia ili tuweze kuisajiri taasisi itambulike kisheria na kuendelea kuisaidia jamii
Kwa walio tayari kwa mawasiliano zaidi
0679972364
0739972364
Jane Phillip (Arusha _Moivo)August 31, 2020 at 10:20 AM EAT
Naitwa Jane, Niko Arusha, nahitaji mfadhili ili nipate pesa ya kufungua mgahawa Wa kuuza juice mbalimbali za matunda na mboga, pamoja na vitafunwa vya kila aina.Nimeshanunua vyombo vyote ila sina pesa ya kukodisha ofisi, na kununulia vyakula
Japhet Daudi (Daresalam)September 18, 2020 at 4:12 PM EAT
Natafuta mfadhili wa kunisaidia niweze kusomchuo kikuu ili niweze degree..yoyote atakayeguswa namba yangu ni 0676289360
Aisha Issa (Tabora,Tanzania)November 25, 2020 at 3:04 PM EAT
Naitwa Aisha Issa Mfaume natafuta mfadhili wa elimu ya juu nimepangiwa chuo kikuu cha sua course ya human nutrition lakini nimeshindwa kukidhi gharama zinazohitajika hivyo natafuna mtu yoyote wa kunifadhili.
Aisha Issa (Tabora,Tanzania)November 25, 2020 at 3:12 PM EAT
Naitwa Aisha Issa Mfaume natafuta mfadhili wa elimu ya juu nimepangiwa chuo kikuu cha sua course ya human nutrition lakini nimeshindwa kukidhi gharama zinazohitajika hivyo natafuna mtu yoyote wa kunifadhili.namb yangu ya simu ni
0627772531
Email: aishamheluka@gmail.com
WESTON EMMANUEL KIWONE (KIDATU, MOROGORO)December 6, 2020 at 7:10 AM EAT
Hi,am looking for a sponsorship for the new project of construction of school and home for orphans.I have started my self,I have already bought a pice of land for the projects.please,if you are capable of helping us,contact us through email or mobile phone number +255787616364,Thank you and we love you
JUKWAA LA VIJANA TANZANIA (SIRARI MARA TANZANIA)January 15, 2021 at 5:07 PM EAT
Ni matumaini yangu kila mmoja anatamani kusaidia vijana na watoto kufikia lengo la kujitegemea kiuchumi nimekuwa mstari wa mbele kuwasaidia vijana kujiendeleza na kupata ujuzi kama ufundi ushonaji useremala na ujasiriamali kwa kuwawezesha kifedha kupata elimu hyo kwa kuwasomesha bure bila gharama ila kwa sasa nahitaji kupata watu tutakaosaidiana kuwasaidia vijana wa Kitanzania kujiinua kiuchumi wasiliana nami +255785616184
japhar kaliho (gairo -morogoro)January 16, 2021 at 12:43 PM EAT (edited January 16, 2021 at 12:50 PM EAT)
DETAILED INFORMATION FOR THE SPONSORSHIP OF THE ORPHANAGE
Dear ,
Thank you so much for your interest to find sponsors for the orphanage.
From you recommendations on the name of the orphanage, we have decided to change the name of the orphanage to BETHEL ORPHANAGE, to the glory of God.
Bethel orphanage was constructed in the manner that it is capable of hosting 50 children that is, 25 girls and 25 boys. But for the first phase we decided to only host 24 children whereby 12 are girls and 12 boys. So far, we have 8 children in the orphanage 4 girls and 4 boys. But the aim is before January next year 2021 to host 20 children.
Seven children in the orphanage go to public primary school and one child attends the kindergarten classes at the Church.
The Orphanage has 6 staffs namely; Manger, matron, accountant, cook, guard, cleaner. Among the staffs, only the matron stays in the orphanage. She has a room in the orphanage where she leaves.
Vision, Mission and Goals
Our vision is a world where every child gets the chance to grow in a safe and stable environment and becomes independent as a result.
Bethel Orphanage aim to provide a safe and stable environment as well as keys to personal development to orphans in Gairo; in this way, we hope to offer them prospect for their future and independence.
We also aim to have a direct positive impact on children’s livelihood at local level, therefore building and maintaining an orphanage to meet the children’s basic needs on the long term:
- Housing
- Food
- Access to health care
- Access to education.
Summary of the costs
The Orphanage needs funds for the operational of the daily activities of the orphanage. That is food cost, educational cost, clothing cost, health cost, electricity bill, staffs’ allowances and maintenance cost. Each child in the orphanage needs Tsh. 375,100 per month for food, educational, clothing and health. Electricity bill Tsh. 85,000 per month, staffs’ allowances Tsh. 1,650,000 per month, repair and maintenance Tsh. 500,000 per month.
Kindly find the breakdown of all the costs in the next page.
- Breakfast, lunch and supper. (FOOD)
S/no.
Item
1 child per month (TSH).
Quantity
1
Tea
10,000
Daily
2
Ugali/rice
25,000
Daily
3
Beans
15,000
Daily
4
Vegetables
10,000
Daily
5
Cooking oil
19,000
Daily
6
Sugar & salt
12,000
Daily
7
Fruits
6,000
Daily
8
Snacks
10,000
Daily
9
Ingredients
15,000
Daily
9
Meat/chicken
9,000
Weekly
Total monthly
131,000
- School requirements (monthly)(SCHOOL)
No.
ITERM
QTY
COST @ (Tsh.)
TOTAL (Tsh.)
a)
School uniform
1 pair
23,000
23,000
b)
School leather shoe
1 pair
25,000
25,000
c)
Exercise book
6 pcs
700
4,200
d)
School bag
1pc
18,000
18,000
e)
Pencils
3 pcs
200
600
f)
School Sock
2 pairs
2,000
4,000
GRAND TOTAL
74,800
No.
ITERM
QTY
COST @ (Tsh.)
TOTAL (Tsh.)
a)
School uniform
1 pair
25,000
25,000
b)
School leather shoe
1 Pair
30,000
30,000
c)
Sweater/pullover
1 Pair
15,000
15,000
d)
White socks
2 Pairs
2,000
4,000
e)
Exercise book
10 pcs
500
5,000
f)
Pen
5 pcs
500
2,500
g)
Pencil
3 pcs
200
600
h)
Remedial classes
5,000
5,000
i)
Examination fee
4,000
4,000
TOTAL
91,100
No.
ITERM
QTY
COST @ (Tsh.)
TOTAL (Tsh.)
a)
Underwear
4 pairs
2,500
10,000
b)
Trouser/skirt
3 Pair
7,000
21,000
c)
Shirt/dress
3 Pair
5,000
15,000
d)
Jacket/pullover sweaters
2 Pairs
5,000
10,000
e)
Belt
1pc
10,000
10,000
f)
Rubber shoe
1pair
10,000
10,000
g)
Shoe
1 pair
15,000
15,000
h)
Sandals
1 pair
3,000
3,000
i)
Bar soap
2 bars
2,500
5,000
j)
Body lotion
1 pc
5,000
5,000
k)
Tooth paste
1 pc
2,000
2,000
l)
Tooth brush
2pcs
500
1,000
m)
Shoe polish
1 pc
2,000
2,000
n)
Shoe brush
1 pc
1,000
1,000
o)
Nail cutter
1 pc
1,000
1,000
p)
Hair cut/hair dressing
Twice
1,000
2,000
TOTAL
113,000
- Health Insurance fund (Health)
- Tsh 30,000 for 1 child per year (Community health fund). Any health issue that will lead to a referral to an hospital outside the district, this health insurance fund will not work. It is only meant to operate within the district.
- Emergency money; Tsh. 10,000. This amount will stand for small emerging issues like pains that do not need to go to the hospital.
ITERM
QTY
COST @ (Tsh.)
TOTAL (Tsh.)
Unit
240 units
355
85,000
1. Manager Tsh.500,00
2.Matron Tsh. 300,000
3.Cook Tsh. 150,000
4.Accountant Tsh. 450,000
5.Guard Tsh. 150,000
6.Cleaner Tsh. 100,000
Total Tsh. 1,650,000
- Repair and maintenance
- Tsh. 500,000 .
- E-mail. japharkaliho@yahoo.com /japharmbegu@gmail,com phone; +255623614642 or +255674 786375
paulo said (Dar es salaam)January 21, 2021 at 11:14 AM EAT
kwa jina naitwa paulo said juma,nasoma chuo cha cha uhasibu kurasini ngazi ya diploma level 5,Napenda kuwaomba msahada ndugu,rafiki na wafadhili mchango wa kunisaidia kulipa ada iloyobaki nadaiwa tsh 600,000=/ambayo nimeshindwa kuona matokeo yangu ya kuendelea na ngazi ya level 6,mpaka sasa simebaki njia panda,Natamani ndoto zangu ziweze kutimia ili nami nije kusaidiwa wezangu wenye changamoto kama zangu .kwa masailiano yangu phone +255620126181/ email.paulsaid528@gmail.com
Mungu awabariki,awajalie afya njema daima wafadhili.
Charisma Tryphon Lutina (Maswa SImiyu)January 28, 2021 at 8:21 PM EAT
Naomba kusaidiwa ufadhili wa kujenga kituo cha watoto yatima na walemavu waliokosa msaada kabisaa Maswa SIMIYU.Kwa ataye guswa hawa watoto ni watoto wetu na nikitu ambacho tunamfanyia Mwenyezi Mungu.Naombeni mchango wenu Maswa hamna kituo hata kimoja, MUNGU AWABARIKI SANA SANA!!
Justine Peter (Njombe)April 16, 2021 at 6:00 PM EAT
Nasoma mwaka wa pili clinical officier natafuta mfadhili wa kuniwezesha kuendelea na masomo yangu 0762847467
Gloria W.Magushani (Mbezi Beach B,kKimondoni Dar es salaam .Tanzania)May 26, 2021 at 8:56 PM EAT
Natafuta wafadhili kwa ajili ya kusaidia NGO yetu inayojihusisha na.kusaidia watoto yatima na waishio katika mazingira magumu,kutoa elimu na elimu ya ujasiriamali kwa vijana for less prevelege and widow na watu wenye ulemavu.Inaitwa Social Security Initiative (SOSEI)
Hilary (Aruy)July 4, 2021 at 3:21 PM EAT
Naomb mdhamin wa kunisomesh
Immu (Pemba)July 8, 2021 at 3:27 PM EAT
Naitaji mfadhili wakunisaidia vifaa vya studio nakinanda naspika pamoja navitu vya studio ili niweze kuendeoeza kipaji changu
Immu (Pemba)July 8, 2021 at 3:28 PM EAT
Naitaji mfadhili wakunisaidia vifaa vya studio nakinanda naspika pamoja navitu vya studio ili niweze kuendeoeza kipaji changu kwa mawasiliano Zaid 0778829896 au0718152266
Yusuph Edward (Tanzania)August 21, 2021 at 11:24 PM EAT
DREAMER HOPE FOUNDATION
Tunaomba msaada kwa ajiri ya kutoa elimu vijijini kuhusu swala la faida kwa wakina mama na wasichana juu ya njia salama za uzazi wa mpango na pia umuhimu wa matumizi ya pedi wakati wa hedhi.
Tunaweza kuwasiliana 0743835245
Neema Kalei (Manyara)September 4, 2021 at 8:15 PM EAT (edited September 4, 2021 at 8:26 PM EAT)
Naomba kusaidiwa ufadhili wa kusomesha watoto wangu kwenye shule za English Medium zinazotoa elimu bora.no zangu ni 0766823369
Pst Godlove Indiael Nanyaro (Kitumbeine Ilorienito Arusha)September 13, 2021 at 1:19 PM EAT
Kanisa letu la Evangelistic Assembles of God Tanzania familia ya Ilorienito tunatafuta mfadhili wakusaidiana nasi katika maeneo makuu manne ya Kanisa tuliyo nayo
1.kuhamasisha jammii ya kimasai kuacha Mila potofu ya ukeketaji na kupeleka watoto shule.
2.kanisa linajihushisha na kusaidia wajane na yatima waliopo katika eneo la mji wa Ilorienito
3.kanisa linasaidia wasiojiweza kwa kuwapatia kuku /mbuzi /na mabati 4 kwa namna watu wanavyo jitolea .
4.kanisa linajihushisha ya mradi wa kilimo na ufugaji nyuki.
Tunaomba msaada wenu watanzania na wahisani mbalimbali kuikomboa jamii yetu nzuri ya kimasai ya Ilorienito Arusha Tanzania .
Ndimi mch.Godlove Indiael Nanyaro wa Ilorienito Arusha