Envaya

DR JOEL SILAS  akielezea juu ya fursa na Miradi  inayotekelezwa na UNDP kwa vijana  akiwa Misungwi, Pembeni kulia Afisa maendeleo ya vijana [W] Misungwi ,Akifuatilia maelekezo ya Dr. kwa umakini mkubwa.

 

 

 

 

MR AGAPE TOM mshauri elekezi wa UNDP akifafanua jambo mbele ya wanachama wa Misungwi vijana  saccos na jukwaa la vijana wa Misungwi.

21 Novemba, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.