Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya uanzishaji wa Mabaraza ya Shule kwa njia ya kidemokrasia yaliyotolewa katika kijiji cha Mvumi Misheni. Mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Haki zangu Sauti yangu unaotekelezwa na mashirika yasiyo ya kiserikali ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) na Women Wake Up (WOWAP) yote ya Dodoma kwa ufadhili wa Oxfam GB. Katika maoni ya washiriki hao waliomba suala la vifaa vya elimu hususan kwa wenye ulemavu lipewe kipaumbele.

17 Gashyantare, 2013
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.