TUNAOMBA KUPATA MTAALAMU WA KUJITOLEA AWEZE KUTUANDIKIA ANDIKO LA MRADI KUHUSU UHAMASISHAJI WA TOHARA KWA WANAUME. ANDIKO HILO LINATAKIWA KUWASILISHWA KWA MFADHILI KABLA YA TAREHE 31 AUGUST 2012. TAFADHALI SANA ALIYE TAYARI KUTUSAIDIA KWA HILI AWASILIANE NASI KUPITIA KWA:
Mkurugenzi Mtendaji
Hisia Cultural Troupe
Emai: hisiaone @yahoo.com
Cell: 0715 439740
TUPO katika mafunzo ya sanaa ya uigizaji na vita dhidi ya UKIMWI katika shule ya msingi Mlandege manispaa ya Iringa. Tumejitolea kuwafundisha bure watoto hawa ili kuwajengea uwezo wa hali ya juu wa kiuigizaji na kiakili.